Crypto currencies and Block Chain Public Lecture Session at IFM By Julius Kastabu Executive Head M-PESA Sales Vodacom TZ LTD.




IFM yashiriki Maonesho ya pili ya NACTE, Pichani Mkuu wa Chuo Prof.Tadeo Satta akiwa na baadhi ya Wafanyakazi katika Banda la Chuo.
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe.Antony Mtaka katika picha ya pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), alipotembelea banda la Chuo katika maonesho ya NACTE Dodoma.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Emmanuel Tutuba alipotembelea banda la IFM katika viwanja vya Maonyesho ya 45 ya Sabasaba.
Karimu Mahmoud Khatwabi ni mwanafunzi wetu wa BSC. Yeye ni finalist (top 10) wa Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi Teknolojia na Ubunifu., MAKISATU 2021. Akiwa na ubinifu wake ambao umemuwezesha kuvuka hatua zote za awali tangu mwaka jana hadi sasa kwenye finali zinazofanyika Dodoma. Hii ni leo 08/05/2021