Ministry of Finance

The Institute of Finance Management
Jifunze Uhudumie

News Post

NEWS POST

2024-06-27 15:43:04

WAFANYAKAZI WA IFM WAADHIMISHA SIKUKUU YA MEI MOSI 2024

Wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi 2024. Sikukuu hii imeadhimishwa katika Kampasi mbalimbali za IFM (kutoka juu kushoto: Kampasi ya Simiyu wakielekea uwanja wa CCM Makao Makuu ya Mkoa wa Simiyu; Kampasi ya Mwanza wakielekea Viwanja vya CCM Kirumba; Kampasi ya Dodoma wakielekea Viwanja vya Jamhuri; na Kampasi Kuu ya Dar es Salaam wakielekea Uwanja wa Uhuru).

Kauli mbiu ya Mei Mosi kwa Mwaka 2024 ni “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”. Kaulimbiu hii inaendana na uhalisia wa Maisha ya Mfanyakazi kwa sasa, ikiakisi kupanda kwa gharama za maisha ambazo zinalazimisha pia kupanda kwa mishahara.

2024-06-27 15:43:04

BROCHURES
COLLABORATIONS
ALMANAC 2023/2024
HEET PROJECT
SHORT COURSES
IFM PROSPECTUS
PAYMENT PORTAL

CONTACT US

P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street

11101 Dar es salaam

+255 22 2112931-4

Fax : +255 22 2112935

rector@ifm.ac.tz

VISITOR COUNTER

Today

2,084

Yesterday

1,332

All

1,006,878

CAMPUSES

IFM Campuses

STRATERGIC PARTNERS

We are proud working with the best team of strategic patners.

Application Window for 2024-2025 Studies is Open - September intake is Open Click to apply