News Posts

WAFANYAKAZI WA IFM WAADHIMISHA SIKUKUU YA MEI MOSI 2024

Wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi 2024. Sikukuu hii imeadhimishwa katika Kampasi mbalimbali za IFM (kutoka juu kushoto: Kampasi ya Simiyu wakielekea uwanja wa CCM Makao Makuu ya Mkoa wa Simiyu; Kampasi ya Mwanza wakielekea Viwanja vya CCM Kirumba; Kampasi ya Dodoma wakielekea Viwanja vya Jamhuri; na Kampasi Kuu ya Dar es Salaam wakielekea Uwanja wa Uhuru).

Kauli mbiu ya Mei Mosi kwa Mwaka 2024 ni “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”. Kaulimbiu hii inaendana na uhalisia wa Maisha ya Mfanyakazi kwa sasa, ikiakisi kupanda kwa gharama za maisha ambazo zinalazimisha pia kupanda kwa mishahara.


2024-06-27 15:43:04

IFM PROSPECTUS
SHORT COURSES
TAMISEMI CONFIRMATION
HEET PROJECT
PAYMENT PORTAL
COLLABORATIONS
ALMANAC 2024/2025

CONTACT US

P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street

11101 Dar es salaam, Tanzania

+255 22 2112931-4

Fax : +255 22 2112935

rector@ifm.ac.tz

VISITOR COUNT

Today

1,959

Yesterday

1,450

All

1,158,816

CAMPUSES AND TEACHING CENTRES

All Campuses of The Institute of Finance Management

STRATEGIC PARTNERS

We are proud working with the best team of strategic partners.

Application Window for 2024-2025 Studies is Open - Click Here to apply