Wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi 2024. Sikukuu hii imeadhimishwa katika Kampasi mbalimbali za IFM (kutoka juu kushoto: Kampasi ya Simiyu wakielekea uwanja wa CCM Makao Makuu ya Mkoa wa Simiyu; Kampasi ya Mwanza wakielekea Viwanja vya CCM Kirumba; Kampasi ya Dodoma wakielekea Viwanja vya Jamhuri; na Kampasi Kuu ya Dar es Salaam wakielekea Uwanja wa Uhuru).
Kauli mbiu ya Mei Mosi kwa Mwaka 2024 ni “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”. Kaulimbiu hii inaendana na uhalisia wa Maisha ya Mfanyakazi kwa sasa, ikiakisi kupanda kwa gharama za maisha ambazo zinalazimisha pia kupanda kwa mishahara.
2024-06-27 15:43:04
2024-12-05 10:56:42
2024-11-22 14:04:37
2024-11-13 14:58:41
2024-11-13 14:48:49
2024-11-13 14:34:30
2024-10-28 07:35:26
CONTACT US
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam, Tanzania
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
rector@ifm.ac.tz
VISITOR COUNT
Today
584
Yesterday
1,210
All
1,280,767
CAMPUSES AND TEACHING CENTRES
All Campuses of The Institute of Finance Management
STRATEGIC PARTNERS
We are proud working with the best team of strategic partners.