Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) Kinawatakia shule, walimu, wazazi na walezi kila la heri wanapokabiliana na kipindi hiki maalum kwa wapendwa wao, na kuwatakia mafanikio mema wanafunzi wa kidato cha sita wanapoanza mitihani yao ya mwisho kuanzia tarehe 5 Mei, 2025.
Maombi yetu yako pamoja nanyi nyote.
IFM inawakaribisha wahitimu wote hapo baadaye kujiunga na Elimu ya Juu.
TupoJuu#PopoteUtakapokwendaIFMniIleile#Daresalaam#Mwanza#Dodoma#Simiyu#Geita#Zanzibar#
2025-05-04 19:26:41
2025-05-07 17:19:26
2025-05-07 17:17:59
2025-05-07 17:13:09
2025-05-03 09:58:52
2025-05-01 15:49:24
2025-05-01 12:48:18
CONTACT US
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam, Tanzania
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
rector@ifm.ac.tz
VISITOR COUNT
Today
771
Yesterday
1,178
All
1,387,919
CAMPUSES AND TEACHING CENTRES
All Campuses of The Institute of Finance Management
STRATEGIC PARTNERS
We are proud working with the best team of strategic partners.