Mafunzo ya "Sustainability Financial Reporting" kwa taasisi za Wizara ya Elimu, Wizara ya Afya, ETDCO, Bodi ya Nafaka Tanzania, Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo na Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro yanaendelea ambapo leo ni siku ya pili.
"Sustainability Financial Reporting" ni moja ya takwa la miongozo mipya iliyotolewa na "International Sustainability Standard Board (ISSB)" ya 2021 na kuridhiwa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) kupitia NBAA Technical Pronouncement and Implementation No. 1 ya 2024 kuhususu Adoption and Implementation of Sustainability Reporting Standards in Tanzania ya Julai 1, 2024 (rasmi kuanzia Januari 1 2025).
Wawezeshaji wa mafunzo hayo ni CPA Dr Deogratius Mahangila, mkufunzi na mshauri elekezi wa kodi, uhasibu na fedha pamoja na CPA Yohana Lambo Mayenga, mkufunzi wa Uhasibu na Fedha wa Chuo cha IFM. Mafunzo yalifanyika katika ukumbi wa hoteli ya Kingsway, Morogoro.
IFM inahakikisha mafunzo yake yanaendana na mahitaji ya wakati.
Kwa kujiunga na mafunzo ya awamu ya pili, yatakayofanyika Agosti 2025, tafadhali wasiliana na CPA Yohana Lambo Mayenga
0753427189.
Usikose nafasi hii muhimu
2025-05-15 18:58:55
2025-05-13 15:35:27
2025-05-13 15:32:13
2025-05-13 15:28:59
2025-05-13 15:28:03
2025-05-13 15:25:15
2025-05-13 15:24:07
CONTACT US
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam, Tanzania
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
rector@ifm.ac.tz
VISITOR COUNT
Today
390
Yesterday
940
All
1,397,538
CAMPUSES AND TEACHING CENTRES
All Campuses of The Institute of Finance Management
STRATEGIC PARTNERS
We are proud working with the best team of strategic partners.