Posted On : 2024-05-01
Wafanyakazi wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha wakiwa katika maandamano ya kuadhimisha Sikukuu ya Mei Mosi 2024. Sikukuu hii imeadhimishwa katika Kampasi mbalimbali za IFM (kutoka juu kushoto: Kampasi ya Simiyu wakielekea uwanja wa CCM Makao Makuu ya Mkoa wa Simiyu; Kampasi ya Mwanza wakielekea Viwanja vya CCM Kirumba; Kampasi ya Dodoma wakielekea Viwanja vya Jamhuri; na Kampasi Kuu ya Dar es Salaam wakielekea Uwanja wa Uhuru).
Kauli mbiu ya Mei Mosi kwa Mwaka 2024 ni “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha”. Kaulimbiu hii inaendana na uhalisia wa Maisha ya Mfanyakazi kwa sasa, ikiakisi kupanda kwa gharama za maisha ambazo zinalazimisha pia kupanda kwa mishahara.
THE SIGNING OF AN MOU BETWEEN THE INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT AND THE UNIVERSITY OF STRATHCLYDE BUSINESS SCHOOL (SBS) THROUGH THE HEET PROJECT ON MAY 29, 2024
2024-06-05 |
MAFUNZO YA UTAWALA BORA NA UADILIFU KWA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI
2024-05-27 |
IFMSO's IFM Entrepreneurship Week
2024-05-27 |
CAPACITY BUILDING PROGRAMS FROM NAZIM HUSSAIN, A VISITING PROFESSOR FROM THE UNIVERSITY OF GRONINGEN, THE NETHERLANDS
2024-05-01 |
PAYMENT PORTAL |
BROCHURES |
COLLABORATIONS |
HEET PROJECT |
IFM PROSPECTUS |
SHORT COURSES |
ALMANAC 2023/2024 |
Application Window for 2024/2025 Studies - September Intake is Open, Click Here to Apply