Posted On : 2024-04-17
Aliyemwakilisha Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha, Dkt Shabani Ngole, akimkabidhi vitu mbalimbali Bi Margareth Mwegala, mlezi wa Kituo cha Watoto yatima cha Amani, kilichopo Zinga – Bagamoyo katika mkoa wa Pwani. Misaada hii ilikusanywa na wanafunzi wa IFM kupitia umoja wao ujulikanao kama IFMSO, na ikaenda kutolewa na viongozi wao pamoja na baadhi ya wanafunzi wenzao. Michango hiyo ilijumuisha vitu kama unga, sabuni, madaftari, viatu, penseli, nk. kwa ajili ya Watoto 36 wanaoishi katika kituo hicho.
Bi Mwegala aliwashukuru wanafunzi kwa kuendelea kusaidia kituo hicho, alisisitiza kuwa kituo bado kina mahitaji mbalimbali ikiwemo kuongeza vyoo kwa ajili ya Watoto hao, na kuweka ukuta Madhubuti kuzuia wezi ambao wamekuwa wakiwasumbua.
MAFUNZO YA UTAWALA BORA NA UADILIFU KWA WAJUMBE WA KAMATI MBALIMBALI
2024-05-27 |
IFMSO's IFM Entrepreneurship Week
2024-05-27 |
WAFANYAKAZI WA IFM WAADHIMISHA SIKUKUU YA MEI MOSI 2024
2024-05-01 |
CAPACITY BUILDING PROGRAMS FROM NAZIM HUSSAIN, A VISITING PROFESSOR FROM THE UNIVERSITY OF GRONINGEN, THE NETHERLANDS
2024-05-01 |
PAYMENT PORTAL |
BROCHURES |
COLLABORATIONS |
HEET PROJECT |
IFM PROSPECTUS |
SHORT COURSES |
ALMANAC 2023/2024 |
Application Window for 2024/2025 Studies - September Intake is Open, Click Here to Apply