Posted On : 2024-02-06
CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA KIMESAINI HATI YA MAKUBALIANO NA MKOA WA PWANI KUPITIA MRADI WA HEET – TAREHE 17 JANUARI 2024
Katika kutekeleza dhima yake ya kutoa elimu na mafunzo kwa kiwango cha juu, ili kuibua uvumbuzi na ubunifu utokanao na tafiti na ushauri elekezi, Mkuu wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha, Prof. Josephat Lotto, na Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Bw Rashid Mchatta, wamesaini ya makubaliano inayohusisha IFM na Mkoa wa Pwani.
Makubaliano haya yatasaidia taasisi hizi mbili katika nyanja za utafiti unaolenga kutatua changamoto mbalimbali kwa wananchi, na kutoa elimu katika nyanja tofauti kwa wafanyakazi wa Mkoa wa Pwani. Utiaji saini ulishuhudiwa na wahusika wakuu, kwenye utekelezaji wa makubaliano, wa pande zote mbili.
IFMSO WAKABIDHI MISAADA KWA MLEZI WA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI, KILICHOPO ZINGA - BAGAMOYO
2024-04-17 |
IFMSO WAKABIDHI VISIMA VIWILI HOSPITALI YA WILAYA YA BAGAMOYO, MKOANI PWANI.
2024-04-17 |
IFM BAIT 1 STUDENT, IRENE Y LEONARD, PARTICIPATING IN THE HESLB #FICHUA CAMPAIGN
2024-04-11 |
THE SIGNING OF AN MOU BETWEEN IFM AND HESLB THROUGH THE HEET PROJECT ON MARCH 28, 2024
2024-04-02 |
PAYMENT PORTAL |
PROGRAMME BROCHURE |
COLLABORATIONS |
HEET PROJECT |
IFM PROSPECTUS |
SHORT COURSES |
ALMANAC 2023/2024 |