Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kimeshiriki siku ya "International Girls in ICT " iliyoadhimishwa leo tarehe 24 Aprili 2025 katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Washiriki walikuwa 19 wakiongozwa na Dr Mastidia Byanyuma ambaye ni Mhadhiri katika masomo ya TEHAMA, katika Chuo cha IFM. Mgeni rasmi alikuwa ni Mhe. Jerry Silaa (MB), Waziri wa Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari.
Chuo cha IFM kinatoa kozi mbali mbali za ICT kuanzia ngazi ya Cheti hadi Uzamili zikiwemo:
■Basic Technician Certificate in Computing and Information Technology
■Ordinary Diploma in Computer Science
■Ordinary Diploma in Information Technology
■Bachelor of Science in Information Technology,
■Bachelor of Computer Science
■Bachelor in Cyber Security
■Bachelor of Accounting with IT
■Master of Banking and Information System Management
■Master of Science in Cyber Security
■Master of Science in Applied Data Analytics."
Tembelea mtandao wetu kwa taarifa zaidi: https://ifm.ac.tz/
#TupoJuu#PopoteUtakapokwendaIFMniIleIle#Daresalaam#Mwanza#Dodoma#Simiyu#Geita#Zanzibar#
2025-04-24 17:58:52
2025-04-20 12:18:25
2025-04-20 12:13:31
2025-04-17 16:08:56
2025-04-17 16:06:41
2025-03-27 06:31:35
2025-03-27 06:03:35
CONTACT US
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam, Tanzania
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
rector@ifm.ac.tz
VISITOR COUNT
Today
536
Yesterday
1,154
All
1,373,253
CAMPUSES AND TEACHING CENTRES
All Campuses of The Institute of Finance Management
STRATEGIC PARTNERS
We are proud working with the best team of strategic partners.