Posted On : 2024-02-27
Baadhi ya Waratibu wa Mradi wa HEET wa IFM, pamoja na waratibu wengine wa vyuo na taasisi zinazotekeleza Mradi wa HEET, wakishiriki katika kikao kazi, kinachofanyika Ukumbi Mpya wa Maktaba uliopo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Kikao hiki kinafanyika kuanzia leo tarehe 27 hadi 29 Februari 2024. Wahudhuriaji watatoa na watapokea Taarifa ya Utekelezaji wa Mradi wa HEET katika ngazi ya Taasisi husika, lengo likiwa ni kubaini changamoto na kuzitafutia ufumbuzi stahiki. Pia kikao hiki ni katika kujiandaa kabla ya Mkutano na Benki Kuu utakaofanyika mwezi Aprili 2024.
IFMSO WAKABIDHI MISAADA KWA MLEZI WA KITUO CHA KULELEA WATOTO YATIMA CHA AMANI, KILICHOPO ZINGA - BAGAMOYO
2024-04-17 |
IFMSO WAKABIDHI VISIMA VIWILI HOSPITALI YA WILAYA YA BAGAMOYO, MKOANI PWANI.
2024-04-17 |
IFM BAIT 1 STUDENT, IRENE Y LEONARD, PARTICIPATING IN THE HESLB #FICHUA CAMPAIGN
2024-04-11 |
THE SIGNING OF AN MOU BETWEEN IFM AND HESLB THROUGH THE HEET PROJECT ON MARCH 28, 2024
2024-04-02 |
PAYMENT PORTAL |
PROGRAMME BROCHURE |
COLLABORATIONS |
HEET PROJECT |
IFM PROSPECTUS |
SHORT COURSES |
ALMANAC 2023/2024 |