Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) kinapenda kuwataarifu wanafunzi wote waliochaguliwa kujiunga na chuo kupitia Ofisi ya Rais – TAMISEMI kwa mwaka wa masomo 2026/2027 kuwa orodha ya majina ya waliochaguliwa imeambatishwa kwenye tangazo hili.
Wanafunzi wote waliochaguliwa katika matawi ya Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma, Simiyu, Geita na Zanzibar wanatakiwa kuthibitisha kujiunga na chuo kwa kutembelea mfumo wa udahili kupitia kiunganishi kifuatacho:
https://ems.ifm.ac.tz/application/apply/tamisemi
Baada ya kukamilisha uthibitisho wa kujiunga na chuo, mwanafunzi ataweza kupata nyaraka zote za kujiunga (Joining Instructions) kupitia akaunti yake kwenye mfumo.
Masomo yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 26 mwezi Oktoba, 2026. Endapo kutakuwa na mabadiliko yoyote kuhusu tarehe ya kuanza masomo, taarifa zitatolewa kupitia njia rasmi za mawasiliano za chuo.
Kwa maelezo zaidi, tafadhali wasiliana na Help Desk kupitia namba zifuatazo:
• Dar es Salaam: +255 734 205030 / +255 734 205029 / +255 734 205028
• Mwanza: +255 734 205026
• Dodoma: +255 734 205025
Imetolewa na:
Ofisi ya Udahili
Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM)
Posted on: 2026-06-15 05:40:38
All graduates of the 2024/2025 Academic Year are hereby informed that the academic certificates for The Institute of Finance Management (IFM) is now ready for collection.
Graduates whose names appear on the list are required to collect their certificates starting Monday, 16th March 2026, subject to having a cleared status in the IFM system.
Posted on: 2026-03-16 16:29:26
The following candidates have been selected (in the second round) to join various Bachelor Degree Programmes offered by the Institute of Finance Management (IFM) for the academic year 2025/2026. The Programmes are tenable at our Campuses in Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma and Simiyu.
All selected students with multiple admission status are required to confirm their admission through (https://ems.ifm.ac.tz/application) before 10th October, 2025. Online Registration (fees payment and uploading of various documents such us original academic certificates, birth certificates, medical examination form and parental commitment form) will be accessed immediately after ACCEPTING the OFFER via student application account (https://ems.ifm.ac.tz/application).
In addition, all Admitted students are required to report at their respective campuses from 3rd November 2025 for physical registration and orientation. For those who are living in respective local areas (i.e those who can afford to come at our campuses to register and return back home) can visit our campuses for physical registration from 20th October 2025.
All the BEST
If you have any query please contact us via the following phone numbers
Dar es Salaam: +255-734-205029 / +255-734-205030 / +255-734-205028
Mwanza: +255-734-205026
Dodoma: +255-734-205025
Simiyu: +255-734-205027
Posted on: 2025-10-08 08:16:36
The following candidates have been selected (in the first round) to join various Bachelor Degree Programmes offered by the Institute of Finance Management (IFM) for the academic year 2025/2026. The Programmes are tenable at our Campuses in Dar es Salaam, Mwanza, Dodoma and Simiyu.
Posted on: 2025-09-03 12:09:47
Posted on: 2026-03-16 16:29:26
Posted on: 2026-01-21 15:25:04
Posted on: 2025-10-08 08:16:36
Posted on: 2025-10-07 13:55:08
Posted on: 2025-06-19 14:36:56
Posted on: 2025-02-25 18:14:48
View Archive
CONTACT US
P.O Box 3918, 5 Shaaban Robert Street
11101 Dar es salaam, Tanzania
+255 22 2112931-4
Fax : +255 22 2112935
rector@ifm.ac.tz
VISITOR COUNT
Today
1,936
Yesterday
2,022
All
1,743,108
CAMPUSES AND TEACHING CENTRES
All Campuses of The Institute of Finance Management
STRATEGIC PARTNERS
We are proud working with the best team of strategic partners.